Tuesday, July 19, 2016

Deuteronomy 30:15 SESSION


Deuteronomy 30:15 SESSION
HEAD - DECISION of course live them!
1. I have set before thee this day: -
Isaiah 1:19 - life and good, death and evil
A) Life is life or live
B)
good is successful or not successful
a) death - death or torture - Revelation 21: 8, Romans 6:23
b) The evil is sin - committed:
2.
testify heaven and earth against you this day Deuteronomy 30:19
I have set before you: a) life and death: a blessing and a curse.
a) Life is to live than good,
b) death is worse than death,
help,
Select, the life you live you and your children,
- Benefits to follow the master,
Deuteronomy 1: 36-37
- Because he has followed the master for each word.
Last Revelation 22:11 A, B.

MCH JOHN MARICK - MBULU





SOMO KUMBUKUMBU LA TORATI 30:15
KICHWA – UAMUZI WA KUISHI UNAO ILA!

1. Nimekuwekea leo mbele yako:-

Isaya 1:19 – uzima na mema, mauti na mabaya

A)    Uzima ni uhai au kuishi
B)    Mema ni mafanikio au kufanikiwa

a)      Mauti – kifo au mateso – ufunuo 21:8, Warumi 6:23
b)      Mabaya ni dhambi, - zinazotendwa:

2. Nazishuhudiza mbingu na nchi juu yenu hivi leo Kumbukumbu 30:19
Nimekuwekea mbele yako: a) uzima na mauti: baraka na laana.
a)      Uzima ni kuishi kuliko kwema,
b)      Mauti ni kufa kuliko kubaya,

Msaada,
Chagua, uzima uwe hai wewe na watoto wako,
-          Faida ya kumfuata bwana, Kukumbukumbu 1:36-37
-          Kwa kuwa amemfuata bwana kwa kila neno.
Mwisho Ufunuo 22:11 A, B.

KUKAA NDANI AU KUKAA NJE – UAMUZI

-          Kukaa ndani au kukaa nje, soma Ufunuo 22:15,  mwanzo 3:18-19
-          Vilivyo wekwa nje mwisho wake soma yohana 15:6
-          Walioko nje wanatumia nguvu gani? Soma Danieli 2:2, Danieli 5:7,  Mwanzo 41, Danieli 5:11, Je waliofanikiwa jibu hapana, Danieli 5: 11, Danieli 2:46
-          Walioko ndani wanatumia nguvu gani? Mwanzo 41:16, Mwanzo 46;1-3, Danieli 3:17.

-          Tamko la Mungu juu ya walioko nje? soma Yeremia 17:5
-          Tamko la Mungu juu ya walioko ndani? soma Yeremia 17:7

-          Laana ni nini- soma Mwanzo 3:14, Mwanzo 9:25
-          Baraka ni nini- soma Mwanzo 27:27, 29

VITU VINAVYOMWEKA MTU NJE


-          UONGO, KIBURI, CHUKI, DHARAU, FITINA NA DHULUMA, WIZI, UCHAWI,

UZINZI, UKAHABA, MAJIVUNO, ULEVI, Hivi huwezi kuingia navyo kwa bwana Yesu



*MCHUNGAJI MARIKI*

SARAH DAUDI QAMARA (MBULU)

KARIBUNI BLOG MPYA
nawakaribisha wamama wote katika blog hii Pia na watu wote



MCH MARIKI




SOMO KUMBUKUMBU LA TORATI 30:15
KICHWA – UAMUZI WA KUISHI UNAO ILA!

1. Nimekuwekea leo mbele yako:-

Isaya 1:19 – uzima na mema, mauti na mabaya

A)    Uzima ni uhai au kuishi
B)    Mema ni mafanikio au kufanikiwa

a)      Mauti – kifo au mateso – ufunuo 21:8, Warumi 6:23
b)      Mabaya ni dhambi, - zinazotendwa:

2. Nazishuhudiza mbingu na nchi juu yenu hivi leo Kumbukumbu 30:19
Nimekuwekea mbele yako: a) uzima na mauti: baraka na laana.
a)      Uzima ni kuishi kuliko kwema,
b)      Mauti ni kufa kuliko kubaya,

Msaada,
Chagua, uzima uwe hai wewe na watoto wako,
-          Faida ya kumfuata bwana, Kukumbukumbu 1:36-37
-          Kwa kuwa amemfuata bwana kwa kila neno.
Mwisho Ufunuo 22:11 A, B.

KUKAA NDANI AU KUKAA NJE – UAMUZI

-          Kukaa ndani au kukaa nje, soma Ufunuo 22:15,  mwanzo 3:18-19
-          Vilivyo wekwa nje mwisho wake soma yohana 15:6
-          Walioko nje wanatumia nguvu gani? Soma Danieli 2:2, Danieli 5:7,  Mwanzo 41, Danieli 5:11, Je waliofanikiwa jibu hapana, Danieli 5: 11, Danieli 2:46
-          Walioko ndani wanatumia nguvu gani? Mwanzo 41:16, Mwanzo 46;1-3, Danieli 3:17.

-          Tamko la Mungu juu ya walioko nje? soma Yeremia 17:5
-          Tamko la Mungu juu ya walioko ndani? soma Yeremia 17:7

-          Laana ni nini- soma Mwanzo 3:14, Mwanzo 9:25
-          Baraka ni nini- soma Mwanzo 27:27, 29

VITU VINAVYOMWEKA MTU NJE


-          UONGO, KIBURI, CHUKI, DHARAU, FITINA NA DHULUMA, WIZI, UCHAWI,

UZINZI, UKAHABA, MAJIVUNO, ULEVI, Hivi huwezi kuingia navyo kwa bwana Yesu



*MCHUNGAJI MARIKI*